Friday, May 27, 2011

YESU NDIO KIMBILIO LANGU

MAOMBI YA MWANAMKE
1. Maombi ya mwanamke yaweza kufungua familia toka kwenye vifungo vya Ibilisi .
2 Maombi ya mwanamke yaweza kufungua mpaka kizazi cha nne.


/home/majira/Desktop/girl-and-woman-praying-1[1].jpg



3 Maombi ya mwanamke yaweza kuhuisha upya nafsi na roho hata palipokatika tamaa.

4. Maombi ya mwanamke ni baraka na mafanikioya familia

5. Maombi ya mwanamke ni ngao imara katika familia
6. Maombi ya mwanamke yaleta faraja ya familia

7. Maombi ya mwanamke ni ulinzi wa familia yako
8. Maombi ya mwanamke yaweza kuwa ni patanisho la familia


9. Maombi ya mwanamke yaondoa laana za kurithi
Mwanamke, usichoke kuomba maana sisi tu walinzi wa familia zetu na tena vita vyetu ni vya roho kwa hiyo yatupasa kupigana vita katika ulimwengu wa roho na si ulimwengu wa mwili. "Kesheni mkiomba"

Nimeambiwa nitume ujumbe ujumbe huu kwa kila mwanamke ninayempenda na kutaka awe na maisha mazuri na familia yenye furaha nami nimefanya hivyo hapa...DM.


WANAWAKE 48 WANABAKWA KILA SAA NCHINI CONGO


Utafiti uliofanywa na wanasayansi wa Marekani umeonyesha kuwa takriban wanawake na wasichana 48 wanabakwa kila saa katika Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.

Utafiti huo, uliochapishwa katika jarida moja la afya,umegundua kuwa wanawake 400,000 kati ya umri wa miaka 15-49 walibakwa katika muda wa miezi 12 kati ya mwaka 2006 na 2007.
Idadi hii ni kubwa ikilinganishwa na idadi ya awali ya kuonyesha kuwa wanawake 16,000 wanabakwa katika muda wa mwaka mmoja iliyotangazwa na umoja wa mataifa.
Serikali ya DRC inasema hali hii ya sasa inaonyesha kuwa wanawake wana nafasi ya kutoa taarifa zaidi juu ya matukio ya ubakaji.
Ubakaji umekuwa kama jambo la kawaida katika mapigano yanayoendelea mashariki mwa Congo.
Amber Peterman, mtafiti mkuu,anasema: "utafiti wetu umedhihirisha kuwa idadi ya matukio ya awali haionyeshi hali halisi ya matukio ya ubakaji yanayoendelea kujitokeza nchini Congo.


Amani ni muhimu jamani kwa nchi yoyote ile nikiwa kama mtanzania naomba kila mmoja aeneze ujumbe wa amani na hata kukemea pindi inapotokea uvunjwaji wa amani POPOTE pale.Wanaume badala ya kwenda kutafuta riziki mnashika silaha kupigana na kiukweli sisi wasichana/wanawakena watoto ndio kundi linaloathirika na mapigano kama hayo.Tuchukulie mfano nchi ya Rwanda wakati wa mauaji ya halaiki ya mwaka 1994 nchi hiyo ilibaki na population kubwa sana ya wanawake wanaume wakiwa wamekufa kwenye mapigano.Nchi ya Congo wanawake wanabakwa sana hasa katika maendeo yenye mapigano mtu anabakwa mbele ya mumewe,watoto n,k inaogopesha kiukweli.


Arnold amewahi kunukuliwa akisema If you have the ultimate love for your wife and she has it for you, I think you have a great head start ... That's not to say it won't be difficult sometimes. You go through your ups and downs but you work through it ....sasa sijui nini kimetokea maana hawajasema

Thursday, May 26, 2011

SALA YA MAMA NI MUHIMU KWA FAMILIA


Bible Verses for Mothers 

    

    'Stop your crying and wipe away your tears.
    All that you have done for your children will not go unrewarded.
    They will return from the enemy's land.
    There is hope for your future.
    Your children will come back home.
    I, the Lord, have spoken'.

    (Jer 31: 16,17) Good News Bible
    -------------------------
    "Honor your father and your mother, as the LORD your God has commanded you, so that you may live long and that it may go well with you in the land the LORD your God is giving you."
    Deuteronomy 5:16 (NIV)

    "As one whom his mother comforts, so I will comfort you; And you will be comforted in Jerusalem."
    Isaiah 66:13 New American Standard Bible

    "He gives the childless woman a family, making her a happy mother. Praise the Lord!"
    Psalm 113:9 New Living Translation

    "You made all the delicate, inner parts of my body and knit me together in my mother's womb."
    Psalm 139:13 New Living Translation

    "My son, observe the commandment of your father;
    And do not forsake the teaching of your mother;
    Bind them continually on your heart;
    Tie them around your neck."
    Proverbs 6:20,21 New American Standard Bible

    "Her children stand and bless her. Her husband praises her:"
    Proverbs 31:28 New Living Translation

    "When Jesus saw his mother standing there beside the disciple he loved, he said to her, ?Dear woman, here is your son.? And he said to this disciple, ?Here is your mother.? And from then on this disciple took her into his home."
    John 19:26,27 New Living Translation

    Rejoice in the Lord always, I will say it again: Rejoice!
    Let your graciousness be known to everyone. The Lord is near.
    Don't' worry about anything, but in everything, through prayer and petition with thanksgiving; let your requests be made known to God.
    And the peace of God, which surpasses every thought, will guard your heartsand your minds in Christ Jesus.
    Philippians 4:4-7

    Keep your love for one another at full strength, because love covers a multitude of sins.
    I Peter 4:8

    Children, obey your parents in the Lord, because this is right. Honor your father and mother which is the first commandment with a promise - that it may go well with you and that you may have a long life.
    Ephesians 6:1-3

    Honor your father and mother. Then you will live a long, full life in the land the LORD your God will give you.
    Exodus 20:12  (NLT)

    You made all the delicate, inner parts of my body and knit me together in my mother's womb.
    ~ Psalm 139:13 (NLT)

    He who finds a wife finds a good thing and obtains favor from the LORD. ~
    Proverbs 18:22 (NASB)

    A wife of noble character who can find?
    She is worth far more than rubies.
    Her husband has full confidence in her
    and lacks nothing of value.
    She brings him good, not harm,
    all the days of her life.
    She is clothed with strength and dignity;
    she can laugh at the days to come.
    She speaks with wisdom,
    and faithful instruction is on her tongue.
    She watches over the affairs of her household
    and does not eat the bread of idleness.
    Her children arise and call her blessed;
    her husband also, and he praises her:
    "Many women do noble things,
    but you surpass them all."
    Charm is deceptive, and beauty is fleeting;
    but a woman who fears the LORD is to be praised.
    Give her the reward she has earned,
    and let her works bring her praise at the city gate.
    ~ Proverbs 31:10-12 and 25-31 (NIV)