Wednesday, March 28, 2012

Mwakilishi Baraza la Wakilishi Zanzibar kuapishwa leo




Mwakilishi Baraza la Wakilishi Zanzibar kuapishwa leo


MWAKILISHI  mteule wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Uzini, Mohammed Raza Daramsi ataapishwa leo katika kikao cha Barza la Wawakilishi kitakachoanza leo mjini Zanzibar.

Raza ataapishwa kufuatia kuibuka kidedea katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, uliofanyika mapema mwaka huu na Raza kuibuka na ushindi wa asilimia 61.