Wednesday, February 22, 2012

MABOMU SONGEA
22/2/2012

Mji wa Songea wachafuka

Mji wote wa songea na viunga vyake upo kimya kabisa huku polisi wakionekana wanafanya patroo na kujaribu kuwa tawanya watu ambao watakuwa katika vikundi. Maduka yote yamefungwa na watu wamejawa na hofu kubwa. mirindimo ya risasi na mabomu ya machozi yanaendelea kurushwa hapa na pale kwenye mikusanyiko ya watu. 
Mpaka tunakwenda mtambuni watu watatu wamepoteza maisha , Poleni na matatizo Songea