Thursday, February 23, 2012

Njia ya msalaba inaanza leo , hamna jambo jema kuungana na waumini wengine kuubeba msalaba wa Yesu  Kristo , kwa kushiriki mateso ya Bwana Yesu Kristo







Bwana Yesu ndio kimbilio letu , na amini katika hilo ,natumaini katika hilo
BWANA YESU ASIFIWE
AMENI