Friday, April 27, 2012

Hukumu ya LIssu leo

Hukumu Ya Lissu- Updates

Hoja tatu za kwanza zimetupwa,sasa jaji anafafanua ya nne kuwa Lissu alihonga vyakula mawakala isipokuwa wa CCM pekee.hoja ziko tisa tuendelee kufatilia
Updates
Hata hoja ya nne imetupwa