Friday, May 4, 2012

KIKWETE APANGUA BARAZA LA MAWAZIRI SURA MPYA ZATAWALA


Friday, May 04, 2012


Baraza La Mawaziri

Wassira anaendelea na nafasi yake
Celina Kombani kabadilishiwa Wizara
Nagu anaendelea
Lukuvi anaendelea na wizara yake
Ghasia kabadilishiwa Wizara
Sitta anaendelea na Afrika Mashariki
Nahodha anahamia Wizara ya Ulinzi
Magufuli anaendelea na nafasi yake
Hussein Mwinyi kahamishiwa Afya
Kawambwa anaendelea na ElimuS
Membe anaendelea na Mambo ya Nje
Chikawe anarudi Katiba na Sheria
Sofia Simba na nafasi yake
Nchimbi - Mambo ya ndani
Mathayo David anaendelea
Kabaka anaendelea na nafasi yake
Mbalawa anaendelea na nafasi yake
Tibaijuka anaendelea na nafasi yake
Chizza anakuwa Waziri wa Kilimo chakula na ushirika
Maghembe - Maji
Mwakyembe anakuwa Waziri wa Uchukuzi

Mkuchika- Utawala bora
Samia suluhu – Muungano
Huviza – Mazingira
Mery nagu – Uwekezaji
Lukuvi – Uratibu na sera
Hawa gasia – TAMISEMI
Samweli sita- East Africa
Shamsi nahodha- ulinzi
Magufuli- ujenzi
Hussen mwinyi- Afya na ustawi
Shukuru kawambwa- Elimu na Mafunzo
Sofia – Maendeleo ya jamii
Membe – Nje
Mathia Chikawe – katiba na Sheria
Emmanuel Nchimbi – Ndani
David Matayo – Mifugo
Kabaka – Kazi na Ajira
Prof marawa- Mawasiliano
Prof Tibaijuka – Nyumba
Cristopher chizza – kilimo
Magembe – Maji
Mwakyembe – uchukuzi
Dr fenela mkangara – Habari vijana na michezo
Kaigasheki – Maliasili na utalii
Kidogo – Viwanga na Biashara
Fedha – William
Sospter – Madini
Mwandyosa – Asiye na wizara maalumu – Ikulu




Wasira -anaendelea
Kombani -Utumishi
Mkuchika -Utawala bora
Samia -anaendele na Muungano
Tereza- anaendelea na Maziria
Nagu -anaendelea
Lukuvi -anaendelea
Ghasia -Tamisemi
Sitta anaendelea
Nahodha -Ulinzi
Magufuli- anaendelea
Mwinyi -Afya
Kawambwa enaendelea
Simba -anaendelea
Membe- anaendelea
Chikawe- Katiba na Sheria
Nchimbi -Mambo ya Ndani
Mathayo anaendelea
Kabaka anaendelea
Mbarawa anaendelea
Tubaijuka anaendelea
Chiza -Kilimo
Mahembe- Maji
Mwakyembe -Uchukuzi
Mkungara -Habari
Kagasheki -Maliasili
Kigoda- Viwanda
Mgimwa -Fedha
Muhongo -Nishati
Mwandosya hana wizara maalumu
Mnaibu:
Kitwanga  VP
PM office  Majaliwa na Mwanri
Kazi Makongoro- Naibu
Malima- Chakula
Home- Silima
Teu -Viwanda
Nagoro -anaendelea
Lwenge -Ujenzi
Mahadhi -Nje
Medeye -Ardhi
Ummy- Jamii
Mulugo -Elimu
Juma- EA
Nyalandu -Maliasili
Rashid- Afya
Simbachawene -Nishati
Mkuya -Fedha
Makambo- Sayansi
Tizeba -Uchukuzi
Makala- Habari
Mahenge- Maji
Masele- Nishati Madini
Kairuki -Sheria
Mbene -Fedha