Tuesday, May 8, 2012

MAWAZIRI WAPYA



MAWAZIRI WAAPISHWA IKULU MAY 7/2012

Rais Jakaya Kikwete akipeana mikono na Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa, baada ya kumuapisha wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo.
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Adam Malima, kuwa Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo.
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Amos Makalla, kuwa Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. George Simbachawene, kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Eng. Christopher Chiza, kuwa Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Dk. Fenella Mukangala, kuwa Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Khamis Kaghasheki, kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Dk. Hussein Mwinyi kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Janeth Mbene kuwa Naibu Waziri Fedha wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. January Makamba, kuwa Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Angela Kairuki, kuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Lazaro Nyarandu, kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo.
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Charles Kitwanga kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Dk. Harisson Mwakyembe, kuwa Waziri wa Uchukuzi wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo.
Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Ndg. Shamsi Vuai Nahodha, kuwa Waziri wa Ulinzi wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es Salaam leo
Picha ya pamoja.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akisalimiana na George Simbachawene, kwenye Viwanja vya Ikulu baada ya kuapishwa kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja ya kumbukumbu na Mawaziri wa Ofisi yake baada ya kuapishwa Mawaziri wapya wakati wa hafla fupi ya kuwaapishwa mawaziri iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu Dar es salaam leo. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, Wa pili (Kulia) ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Terezya Huvisa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais,aliyeteuliwa wiki iliyopita na kuapishwa leo, Charles Kitwanga 'Mawe Matatu'.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akisalimiana na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, baada ya hafla ya kuapishwa Mawaziri wapya walioteuliwa wiki iliyopita. Hafla hiyo ya kuwaapisha ilifanyika leo.katika Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

Saturday, May 5, 2012


ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI



MAWAZIRI

1.         OFISI YA RAIS

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,


2.         OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H.  Suluhu, Mb.,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,


3.         OFISI  YA WAZIRI MKUU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri  Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,

Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,


4.         WIZARA

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,

Waziri wa Ujenzi
Dr.  John P. Magufuli, Mb.,

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,

Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,

Waziri wa Kazi na Ajira
Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof.  Makame M. Mbarawa, Mb.,

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof.  Anna K. Tibaijuka, Mb.,

Waziri wa Maji
Prof. Jumanne Maghembe,  Mb.,

Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,

Waziri wa  Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,


Waziri wa Uchukuzi
Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,

Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,

Waziri wa Viwanda na Biashara
Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,

Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa, Mb.,

Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,


5.         NAIBU MAWAZIRI


 OFISI YA RAIS

HAKUNA NAIBU WAZIRI


6.         OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,


7.         OFISI YA WAZIRI MKUU

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,





8.         WIZARA MBALIMBALI

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira
Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,

Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndugu Adam Malima, Mb.,

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo  ya Makazi,
Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,

Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,

Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,

Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Ndugu George Simbachawene, Mb.,


Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Ndugu January Makamba, Mb.,

Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Ndugu Amos Makala, Mb.,

Naibu Waziri wa Maji
Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,

Naibu Waziri Nishati na Madini
Ndugu Stephen Maselle, Mb.,

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,

Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Janet Mbene, Mb.,

Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb.,


ZAIDI SOMA michuzi -matukio blog